Calvary temple ndani ya wiki la pentekoste kama inavyojiri na ni kawaida ya kanisa la TAG kuwa na wiki la pentekoste ambalo lengo lake ni kuamsha moto wa ROHO MTAKATIFU ndani ya kanisa. Jambo hili hufanywa kila mwaka Tanzania nzima.
Yafuatayo ni baadhi ya matukio yaliyojiri katika kanisa hili na kwa ukweli yanastahili kuigwa na makanisa yote ya kanisa la TAG
kwaya ya Calvary Temple Arusha
kazi nzuri iliyofanya sherehe ifane
Vuvuzela ndani ya uvuvio wa upako
papaaa piga base
dah!kwa Yesu raha yaani hadi Kiduku
mama Mchungaji wa kanisa hilo
mr nae kweli Yesu ainuliwe juu
papaa jose



















No comments:
Post a Comment